Esteri 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
16 Hapo Memukani akamwambia mufalme na viongozi wake: “Zaidi ya kumukosea mufalme, malkia Vashiti amewakosea viongozi na kila mutu katika majimbo ya mufalme Ahasuero!
Paulo akajibu: “Mimi ninasimama mbele ya tribinali ya Mufalme wa Roma, na ni hapa ninapopaswa kusambishwa. Sikuwakosea Wayuda kosa lolote, kama vile wewe mwenyewe unavyojua vizuri.
Paulo alipotaka kusema, Galio akawaambia Wayuda: “Kama mungemushitaki mutu huyu juu ya neno la uovu au kosa kubwa alilofanya, ningewasikiliza ninyi Wayuda vema.
Tendo hili la malkia Vashiti litajulikana na wanawake wote, nao watawazarau waume zao, wakisema: ‘Mufalme Ahasuero aliamuru malkia Vashiti akuje kwake, lakini yeye akakataa.’