Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 8:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Yule kondoo dume uliyemwona mwenye pembe mbili, ni wafalme wa Media na Persia.

Gade chapit la Kopi




Danieli 8:20
6 Referans Kwoze  

Nilipoinua macho yangu, niliona kondoo dume amesimama kando ya muto huo. Kondoo huyo alikuwa na pembe mbili ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu zaidi, nayo ilitokea nyuma ya ile ingine.


Kati yao kuna waaskari kutoka Persia, Etiopia na Puti; wote wana ngao na kofia za chuma.


Yule beberu ni mufalme wa Ugriki. Ile pembe kubwa katikati ya macho yake ni mufalme wa kwanza.


Nyuma yako kutafuata ufalme mwingine, lakini ufalme huo utakuwa zaifu. Huu utafuatwa na ufalme wa tatu unaofananishwa na shaba; huo utaitawala dunia yote.


PERESI: ufalme wako umegawanywa kati ya Wamedi na Wapersi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite