Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 7:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Nikajongea karibu na mutu mumoja kati ya wale waliosimama pale na kumwuliza maana kamili ya mambo hayo yote. Naye akanielezea maana yake akisema:

Gade chapit la Kopi




Danieli 7:16
14 Referans Kwoze  

Basi mumoja kati ya wale wazee akaniambia: “Usilie. Angalia, simba wa kabila la Yuda, wa uzao wa mufalme Daudi, amepata ushindi. Yeye anaweza kuvunja vile vifundo saba vya muhuri vya kizingo na kukifungua.”


Kisha, Yawe akanionyesha wafuachuma wane.


Kutoka kiti hicho kijito cha moto kilibubujika, kikatiririka. Maelfu ya watu walimutumikia, na mamilioni walisimama mbele yake. Halafu waamuzi wakajitayarisha kwa kuhukumu, na vitabu vikafunguliwa.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Ukifuata njia zangu na kushika maagizo niliyokupa, basi, utaisimamia nyumba yangu na viwanja vyake. Nami nitakuwezesha kuingia katika utumishi wangu kama hawa wanaosimama mbele yangu.


Basi, akaniambia: Danieli, nimekuja kukupa hekima na uwezo wa kufahamu.


Nyama hao wane wakubwa ni wafalme wane watakaotokea katika dunia.


Gabrieli akakuja karibu na pahali niliposimama. Mimi nikaogopa sana, hata nikaanguka uso mpaka chini. Lakini akaniambia: Wewe mutu, uelewe kwamba maono uliyoyaona yanaelekea wakati wa mwisho.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite