Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Hivyo, ee mufalme Dario, utoe amri hiyo na kuitia sahihi yako kusudi isibadilishwe. Nayo itakuwa sheria ya Wamedi na Wapersi, sheria ambayo haitavunjika.

Gade chapit la Kopi




Danieli 6:9
6 Referans Kwoze  

Musiwategemee wakubwa wa dunia; hao ni wanadamu tu, hawawezi kuokoa.


Afazali kumukimbilia Yawe, kuliko kuwatumainia waongozi wa dunia.


Usimutumainie mwanadamu, uzima wake ni kama pumzi tu. Yeye anafaa kitu gani?


ikiwa umejifunga kwa maneno yako mwenyewe, utajinasa kwa ahadi uliyofanya;


Basi, ikikupendeza, ewe mufalme, toa amri kwamba Vashiti asikuje tena mbele yako. Amri hiyo iandikwe katika sheria za Persia na Media, kusudi isiweze kubadilishwa. Kisha, cheo chake cha umalkia, kipewe kwa mwanamuke mwingine anayekuwa bora zaidi kuliko yeye.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite