Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Sisi wakubwa uliotuweka, wasimamizi, maliwali, washauri na wakubwa wa majimbo, wote tumepatana kwamba inafaa, ee mufalme, utoe amri na kuhakikisha kwamba inafuatwa kikamilifu. Amuru kwamba kwa muda wa siku makumi tatu kusikuwe mutu yeyote atakayeruhusiwa kuomba kitu chochote kwa mungu yeyote au kwa mutu yeyote, isipokuwa kutoka kwako wewe, ewe mufalme. Mutu yeyote atakayevunja sheria hii atupwe katika pango la simba.

Gade chapit la Kopi




Danieli 6:8
11 Referans Kwoze  

Mufalme aliposikia maneno hayo, alisikitika sana. Akafanya nguvu yake yote kwa kutafuta njia ya kumwokoa Danieli. Aliendelea kujaribu mpaka jua likatua.


Basi, ikikupendeza, ewe mufalme, toa amri kwamba Vashiti asikuje tena mbele yako. Amri hiyo iandikwe katika sheria za Persia na Media, kusudi isiweze kubadilishwa. Kisha, cheo chake cha umalkia, kipewe kwa mwanamuke mwingine anayekuwa bora zaidi kuliko yeye.


Watu wale waliofanya mupango mubaya juu ya Danieli waliingia ndani, wakamukuta Danieli akiomba na kumusihi Mungu wake.


Ole kwao wanaotunga sheria za uovu, watu wanaopitisha sheria za kugandamiza.


Mordekayi alikuwa ameandika barua hizo kwa jina la mufalme Ahasuero, akazipiga muhuri kwa pete ya mufalme. Na waliozipeleka walikuwa wajumbe waliopanda juu ya farasi wenye nguvu wanaokimbia mbio.


Basi, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza, Hamani akawaita waandishi wote wa mufalme, akawapa tangazo ambalo alitaka litafsiriwe kwa kila luga na kila namna ya maandiko katika utawala ule, na halafu mifano ya barua isambazwe kwa watawala wote, wakubwa wa majimbo yote, na viongozi wa makabila – kufuatana na luga zinazotumika kwao. Tangazo hilo likatolewa kwa jina la mufalme Ahasuero, na kupigwa muhuri kwa pete yake.


Munaweza kuwaandikia Wayuda neno lolote munalopenda. Tena munaweza kuandika kwa jina langu na kutumia muhuri wa kifalme, kwa sababu tangazo ambalo limetolewa kwa jina la mufalme na kupigwa muhuri wa mufalme, haliwezi kuvunjwa.”


Kisha Esteri akazungumuza tena na mufalme; akajitupa chini, kwenye miguu ya mufalme, naye akilia, akamusihi mufalme aukomeshe mupango mubaya ambao Hamani, wa uzao wa Agagi, alikuwa amepanga juu ya Wayuda.


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


PERESI: ufalme wako umegawanywa kati ya Wamedi na Wapersi.


Wao wanapatana kuwaangamiza watu wa haki, na kuwahukumu watu wasiokuwa na kosa wauawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite