Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Aliweka vilevile wakubwa watatu, Danieli akiwa mumoja kati yao, wawasimamie wale wakubwa wengine katika uongozi kusudi mufalme asipatwe na hasara.

Gade chapit la Kopi




Danieli 6:3
12 Referans Kwoze  

Nimesikia kwamba roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, na kwamba una ujuzi, na akili, na hekima ya ajabu.


Kuna mutu mwenye akili na maarifa ndani ya kazi? Yule atawatumikia wafalme; hatawatumikia watu wasiofaa.


kwa sababu ana roho njema, maarifa, ujuzi wa kufasiria ndoto, kufumbua mafumbo na kutatua matatizo. Jina la mutu huyo ni Danieli ambaye baba yako alimwita Beltesaza. Basi wamwite, naye atakuelezea maana ya maandiko haya.


Mordekayi, Muyuda, alikuwa wa kwanza chini ya mufalme Ahasuero katika madaraka. Alipendwa na kuheshimiwa na Wayuda, maana alitumika kwa faida na amani ya watu wake na wazao wao wote.


Ulipoanza kuomba, Mungu alitoa jibu, nami nimekuja kukuelezea jibu hilo kwa sababu unapendwa sana. Kwa hiyo, usikilize kwa uangalifu jibu hilo na kuelewa maono hayo.


Asiyesema sana ana maarifa; mutu mutulivu ni mwenye ufahamu.


Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbafu, kama vile mwangaza unavyokuwa bora kuliko giza.


nikamuchagua ndugu yangu Hanani kuwa mwangalizi wa Yerusalema akishirikiana na Hanania aliyekuwa jemadari wa waaskari walinzi wa munara katika Yerusalema; kwa sababu alikuwa mutu wa kutegemewa na anayemwogopa sana Mungu, hapakukuwa mwingine aliyelingana naye,


Mufalme Belsasari akaamuru kwa sauti kwamba wachawi, Wakaldea wenye hekima na waaguzi waletwe. Walipoletwa, mufalme akawaambia wenye hekima hao wa Babeli: Yeyote atakayesoma maandiko haya na kunijulisha maana yake, atavalishwa nguo nzuri nyekundu za kifalme na mukufu wa zahabu katika shingo lake, na kupewa nafasi ya tatu katika ufalme.


Tena, muangalie sana musichelewe kufanya hivyo, kusudi nisipate hasara.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite