Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 5:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, mufalme Belsasari akazidi kuhangaika na rangi yake ikazidi kugeuka, nao wakubwa wake wakakuwa na wasiwasi.

Gade chapit la Kopi




Danieli 5:9
12 Referans Kwoze  

Basi, mufalme akabadilika rangi na kufazaika kwa ajili ya mawazo yaliyomufikia, viungo vyake vikaregea na magoti yakaanza kutetemeka.


Katika mwaka wa pili wa utawala wake, mufalme Nebukadneza aliota ndoto. Na kwa hiyo roho yake ikahuzunika sana hata hakuweza kupata usingizi.


Waisraeli wanasema: Tumesikia habari zao. Kwa hiyo mikono yetu imeregea; tumeshikwa na huzuni na uchungu, kama mwanamuke anayezaa.


Wafalme wa dunia, wakubwa, wakubwa wa waaskari, watajiri, wenye uwezo, na watu wengine wote, watumwa au wenye kuwa huru wakajificha katika mapango na katikati ya mawe ya milima.


Mufalme Herode aliposikia maneno haya, akafazaika sana pamoja na wakaaji wote wa Yerusalema.


Hivyo, niliachwa peke yangu nikiangalia hayo maono ya kushangaza. Nguvu zikaniishia, na uso wangu ukabadilika rangi, nikabaki bila nguvu.


Mujiulize sasa na kufahamu: Mwanaume anaweza kuzaa mutoto? Mbona basi, ninamwona kila mwanaume anajikamata kwenye kiuno kama mwanamuke anayesikia maumivu ya kuzaa na nyuso zimebadilika?


Lakini walipouona Sayuni, wakashangaa; wakashikwa na hofu na kukimbia.


Yawe alinguruma kutoka mbingu; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite