Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Basi, mufalme akabadilika rangi na kufazaika kwa ajili ya mawazo yaliyomufikia, viungo vyake vikaregea na magoti yakaanza kutetemeka.

Gade chapit la Kopi




Danieli 5:6
21 Referans Kwoze  

Munyanganye feza, munyanganye zahabu! Mali yake haina mwisho! Kuna wingi wa kila kitu cha bei kali!


Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Mawazo yangu yaliniogopesha sana mimi Danieli, hata rangi yangu ikabadilika. Lakini nilichunga jambo hilo ndani ya moyo wangu.


Mikono ya kila mutu itakuwa zaifu na magoti yake yataregea kabisa.


Kisha, Danieli akafika, anayeitwa vilevile Beltesaza, jina la mungu wangu, ambaye roho ya miungu mitakatifu iko ndani yake, nami nikamwelezea ndoto yangu, nikasema:


Wewe mwanadamu, ugeukie upande wa Yerusalema, uhubiri juu ya nafasi zake za kutambikia, na kutoa unabii juu ya inchi ya Waisraeli.


Karamu zao zikuwe mutego kwao, na sikukuu zao ziwanase.


basi, ni wewe, ee mufalme, ambaye umekuwa mukubwa na mwenye nguvu. Ukubwa wako umefika mpaka mbinguni, na ufalme wako umeenea mpaka miisho ya dunia.


Basi muitie tena nguvu mikono yenu inayopooza, nayo magoti yenu yanayoregea.


Kwa hiyo, mufalme Nebukadneza akawaka hasira, sura yake ikabadilika kwa chuki juu ya Sadiraki, Mesaki na Abedenego. Akaamuru kwamba moto wa furu uongezwe mara saba kuliko kawaida yake.


Katika mwaka wa pili wa utawala wake, mufalme Nebukadneza aliota ndoto. Na kwa hiyo roho yake ikahuzunika sana hata hakuweza kupata usingizi.


Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea.


Hawachoki wala hawajikwai; hawasinzii wala hawalali; hakuna mukaba wao uliofunguka wala kamba ya kiatu iliyokatika.


Wanafungua vinywa vyao kama simba, tayari kushambulia na kurarua.


Saa ileile, vidole vya mukono wa mwanadamu vikatokea na kuandika kwenye lipu ya ukuta wa nyumba ya kifalme uliopakaliwa chokaa pahali palipoangaziwa vizuri, mbele ya kinara cha taa. Mufalme aliuona mukono ule ukiandika.


Mufalme wa Babeli amesikia habari zao. Kwa hiyo, mikono yake ikaregea. Ameshikwa na huzuni na uchungu, kama mama anayezaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite