Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 5:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Na hii ndiyo maana yake. MENE: Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.

Gade chapit la Kopi




Danieli 5:26
11 Referans Kwoze  

Mataifa yote yatamutumikia yeye, pamoja na mwana wake na mujukuu wake mpaka wakati inchi yake itakapoanguka. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi wakubwa watamufanya kuwa mutumwa wao.


Ni vile Bwana anavyosema, yeye aliyejulisha mambo haya tangu zamani za kale.’ ”


mimi Danieli nilikuwa nikisoma kwa uangalifu vitabu vitakatifu, na humo nikaelewa maana ya jambo lile Yawe alilomufahamisha nabii Yeremia juu ya ile miaka makumi saba, muda ambao utahusika na kuharibiwa kwa Yerusalema.


Mutu akikufa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja mpaka wakati wa kufunguliwa ufike.


Ninawachochea Wamedi juu yao; watu ambao hawajali feza wala hawavutwi na zahabu.


Maandiko yenyewe ni: MENE, MENE, TEKELI, PERESI.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite