Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 5:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Maandiko yenyewe ni: MENE, MENE, TEKELI, PERESI.

Gade chapit la Kopi




Danieli 5:25
10 Referans Kwoze  

Basi, Mungu ametuma mukono uandike maandiko haya.


Na hii ndiyo maana yake. MENE: Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.


Zaidi ya hayo, Yawe atakutia wewe pamoja na Waisraeli wote katika mikono ya Wafilistini. Kesho, wewe na wana wako mutakuwa pamoja nami. Hata waaskari wa Israeli, Yawe atawatia katika mikono ya Wafilistini.”


Nabii Elia akamupelekea mufalme Yoramu barua hii: “Yawe, Mungu wa Daudi babu yako, anakulaani kwa sababu haukufuata mwenendo wa Yosafati baba yako, au wa Asa mufalme wa Yuda.


Utukufu wako umeteremushwa kuzimu pamoja na muziki wa vinubi vyako. Chini mafunza ndio kitanda chako, na wadudu ndio blanketi yako!


Lakini hasara itakupata ambayo hautaweza kujiepusha nayo. Magumu yatakutokea ambayo hautaweza kuyapinga; maangamizi yatakufikia kwa rafla ambayo haujapata kuyaona hata kidogo.


Mataifa yote yatamutumikia yeye, pamoja na mwana wake na mujukuu wake mpaka wakati inchi yake itakapoanguka. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi wakubwa watamufanya kuwa mutumwa wao.


Siku moja wale waliokukopesha watasimama kwa rafla, wale wanaokutetemesha wataamuka. Halafu utakuwa mateka wao.


Ametenda kwa uwezo wake mukubwa, amewasambaza wale wanaofanya mipango kwa kiburi.


Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite