Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kisha ukaona tena, ee mufalme, Mulinzi mutakatifu akishuka kutoka mbinguni, akaamuru: Mukate muti huu, muuangamize. Lakini muache kisiki chake na mizizi yake katika udongo kwenye majani mabichi ya mashamba, kikiwa kimefungwa pale kwa munyororo wa chuma na shaba. Muache kilowanishwe na umande wa mbinguni; muache kiishi pamoja na nyama wa pori kwa miaka saba.

Gade chapit la Kopi




Danieli 4:20
4 Referans Kwoze  

Wewe ni kama muti wa mwerezi wa Lebanoni wenye matawi mazuri na majani mengi na shina refu. Kilele chake kinafika hata katika mawingu.


Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa sauti ya kuanguka kwake, wakati nilipouangusha chini katika kuzimu pamoja na wale wanaoshuka ndani ya shimo kwa wafu. Nayo miti yote ya Edeni, miti mizuri na ya pekee ya Lebanoni ambayo ilimwangiliwa maji, ilifarijiwa huko chini kwa wafu.


Hii basi, bwana wangu, ndiyo maana ya ndoto yako, kadiri ya uamuzi wa Mungu Mukubwa juu yako:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite