Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kisha mufalme akaamuru maliwali, wasimamizi, watawala, washauri, walinzi wa mali, waamuzi, wana sheria na wakubwa wote wa majimbo wahuzurie sikukuu ya kuzindua sanamu aliyosimamisha.

Gade chapit la Kopi




Danieli 3:2
10 Referans Kwoze  

Maliwali, wasimamizi, wakubwa wa majimbo na washauri wa mufalme, wote wakakusanyika pamoja, wakaona kwamba ule moto haukuweza kuwaunguza hao watatu. Nywele zao hazikuungua, nguo zao hazikuungua wala hawakuwa na harufu yoyote ya moto.


Mutawala akisikiliza mambo ya uongo, wakubwa wake wote watakuwa waovu.


Yeroboamu aliamuru vilevile siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane ikuwe sikukuu sawa na ile sikukuu iliyokuwa inafanyika kule Yuda. Alitoa sadaka kwenye mazabahu aliyotengeneza kule Beteli mbele ya zile sanamu za wana-ngombe alizozitengeneza, akaweka wale makuhani aliowachagua watumike kila nafasi ya kutolea sadaka aliyotengeneza juu ya vilima.


Wakubwa wa Wafilistini wakakusanyika kwa kusherehekea na kumutolea mungu wao anayeitwa Dagoni sadaka. Basi, wakakuwa wanaimba: “Mungu wetu amemutia adui yetu Samusoni katika mikono yetu.”


Wanawake hao waliwaalika Waisraeli washiriki matambiko waliyotambikia miungu yao, nao Waisraeli wakakula chakula na kuabudu miungu yao.


Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye, na wakaaji wa dunia wamelewa divai ya uasherati wake.”


Basi, maliwali, wasimamizi, watawala, washauri, walinzi wa hazina, wana sheria na wakubwa wote wa majimbo wakakusanyika tayari kwa muzinduo wa sanamu mufalme Nebukadneza aliyosimamisha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite