Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 akasema: Jina la Mungu litukuzwe milele na milele. Hekima na nguvu ni vyake.

Gade chapit la Kopi




Danieli 2:20
25 Referans Kwoze  

Jina lake litukuzwe, sasa na hata milele.


Lakini hekima na uwezo ni vya Mungu. Yeye ana maarifa na ujuzi.


Nao waliimba hivi kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyeuawa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima na nguvu, heshima, utukufu na sifa!”


Wewe unapanga kwa hekima na unafanya maajabu; njia za watu wote ziko wazi mbele yako, unamulipa kila mumoja kadiri ya njia zake na matendo yake.


Bwana wetu ni mukubwa, ana nguvu nyingi; maarifa yake hayana kipimo.


Basi yeye anayeweza kuwalinda kusudi musianguke, na kuwasimamisha ninyi mbele ya utukufu wake pasipo kilema na kwa furaha kubwa,


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Lakini ni sisi tutakaomusifu Yawe, tutamusifu sasa na hata milele. Haleluia!


“Atukuzwe Yawe ambaye amewapatia watu wake Waisraeli amani, kulingana na ahadi yake. Ametimiza ahadi zake zote njema alizozitoa kupitia kwa mutumishi wake Musa.


Usituache kuanguka katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. [Kwa maana ufalme, uwezo na utukufu ni vyako hata milele. Amina.]’


Musitegemee kutesa, musijisifie mali ya wizi; kama mali zikiongezeka, musizitegemee.


Anayenitolea shukrani kama sadaka yake, huyo ndiye anayenitukuza; yeyote anayedumu katika njia yangu, huyo ndiye nitakayemwokoa.”


Wewe unaniimarisha katika ukamilifu; utanichunga mbele yako milele.


Nyuma ya kushauriana na watu, mufalme akachagua waimbaji kwa kumwimbia Yawe wavae nguo zao takatifu kisha watangulie mbele ya jeshi, wakiimba: “Mumushukuru Yawe, maana wema wake unadumu milele!”


Kisha, mufalme Daudi akawaambia wote waliokusanyika: “Mumusifu Yawe, Mungu wenu.” Na wote waliokusanyika wakamutukuza Yawe, Mungu wa babu zao, wakainama mbele yake na kumwabudu Yawe na kumutolea mufalme Daudi heshima.


Atukuzwe Mungu Mukubwa, aliyetia waadui zako katika mikono yako!” Naye Abramu akamupa Melkisedeki sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo.


Haleluia! Enyi watumishi wa Yawe, musifu jina lake!


Wewe unajiona mwenye hekima kuliko Danieli, unazani hakuna siri yoyote usiyoijua.


Walawi, ni kusema Yesua, Kadimieli, Bani, Hasabuea, Serebia, Hodia, Sebania na Petahia, wakawaambia watu: Musimame na kumusifu Yawe, Mungu wenu. Mumusifu milele na milele! Na watu wakasifu jina lako tukufu, ambalo linatukuka kuliko baraka na sifa zote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite