Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 2:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kisha, Danieli akarudi kwa nyumba, akawajulisha wenzake Hanania, Misaeli na Azaria jambo hilo.

Gade chapit la Kopi




Danieli 2:17
5 Referans Kwoze  

Sasa, kuna Wayuda fulani uliowachagua kwa kushugulikia mambo ya utawala wa jimbo la Babeli, nao ni: Sadiraki, Mesaki na Abedenego; watu hawa, ee mufalme, hawakutii amri yako. Wanakataa kuitumikia miungu yako na kuiabudu ile sanamu ya zahabu uliyoisimamisha.


Halafu Danieli akamwendea mutumishi aliyewekwa na mukubwa yule kwa kumulinda yeye na wenzake watatu Hanania, Misaeli na Azaria, akamwambia:


Halafu Danieli alimwendea mufalme na kumwomba amupatie muda kusudi apate kumujulisha mufalme maana ya ndoto yake.


Kwa hiyo, ninaamuru kwamba watu wa kabila lolote, taifa lolote au luga yoyote, watakaosema kitu chochote cha kumuzarau Mungu wa Sadiraki, Mesaki na Abedenego, watakatwa vipandevipande na nyumba zao zitabomolewa. Maana hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa namna hii.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite