Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Halafu Danieli alimwendea mufalme na kumwomba amupatie muda kusudi apate kumujulisha mufalme maana ya ndoto yake.

Gade chapit la Kopi




Danieli 2:16
5 Referans Kwoze  

Danieli akamwuliza: Kwa nini amri ya mufalme ni kali hivyo? Arioki akamwelezea Danieli maneno yote.


Kisha, Danieli akarudi kwa nyumba, akawajulisha wenzake Hanania, Misaeli na Azaria jambo hilo.


Hasira ya mufalme ni kama mujumbe wa kifo; mutu mwenye hekima ataituliza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite