Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kisha mutoto mumoja wa ukoo wa huyo binti atakuwa mufalme. Huyo atayashambulia makundi ya waaskari wa mufalme wa kaskazini na kuingia katika miji yao yenye kuzungukwa na kuta na kushinda.

Gade chapit la Kopi




Danieli 11:7
14 Referans Kwoze  

Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Kwa sababu alikizarau kile kiapo na kuvunja lile agano ambalo aliahidi kwa mukono wake mwenyewe na kufanya mambo yale yote, hakika hataokoka.


Umewapanda nao wameota mizizi, wanastawi na kuzaa matunda. Wanakujua kwa midomo tu, lakini mioyo yao iko mbali nawe.


Kutatokea chipukizi katika shina la Yese, tawi litachipuka toka mizizi yake.


Kichwa ni wazee na waheshimiwa, mukia ni manabii wanaofundisha uongo.


Siku za maisha yake zikuwe chache, mutu mwingine akamate kazi yake!


Utue muzigo wako kwa Yawe, naye atakusaidia; hamwachilii mutu wa haki ashindwe.


Muti ukikatwa, kuna tumaini la kuota, unaweza kuchipuka tena.


Kisha miaka michache, wataungana pamoja; binti wa mufalme wa kusini ataolewa katika jamaa ya mufalme wa kaskazini na kutimiza mapatano hayo, lakini hataendelea kuwa na nguvu, hata mufalme na wazao wake hawatavumilia; na huyo binti, mwana wake na wajakazi aliokwenda nao, wote watauawa.


Wakati wa mwisho mufalme wa kusini atamushambulia mufalme huyo wa kaskazini. Lakini mufalme wa kaskazini atajibu mashambulio hayo kwa nguvu kama zoruba, akitumia magari ya vita, waaskari wapanda-farasi na mashua nyingi. Atashambulia inchi nyingi na kupita katika inchi hizo kama mafuriko ya maji.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite