Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 11:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Wana wa mufalme wa kaskazini watakusanya kundi kubwa la waaskari na kujitayarisha kwa vita. Kundi hilo litasonga mbele kama mafuriko ya maji litapita na kupigana vita mpaka ndani ya muji wenye kuta wa waadui.

Gade chapit la Kopi




Danieli 11:10
10 Referans Kwoze  

Kisha mutoto mumoja wa ukoo wa huyo binti atakuwa mufalme. Huyo atayashambulia makundi ya waaskari wa mufalme wa kaskazini na kuingia katika miji yao yenye kuzungukwa na kuta na kushinda.


Kisha majuma hayo makumi saba na mawili, yule aliyepakwa mafuta atauawa na hatabaki na kitu. Muji na Pahali Patakatifu Sana vitaharibishwa na waaskari wa mutawala atakayekuja kushambulia. Mwisho wake utafika kama mafuriko, kukiwa vita na maangamizi kama yalivyopangwa na Mungu.


Bahari imefurika juu ya Babeli, Babeli imefunikwa na mawimbi yaliyochafuka.


Wale wanaokula pamoja naye, ndio watakaomwangamiza. Watamwangamiza na waaskari wake watasambazwa na wengi watauawa.


Makundi ya waaskari pamoja na kuhani wa hekalu wataangamizwa na kuwaua.


Atabomoa pango za miji ya Moabu yenye kuta ndefu na kuiangusha chini ndani ya mavumbi.


Lakini nyuma, mufalme huyu wa kaskazini ataushambulia ufalme wa kusini, kisha atarudi katika inchi yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite