Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wakati huo, mimi Danieli, nilikuwa nikiomboleza kwa muda wa majuma matatu.

Gade chapit la Kopi




Danieli 10:2
13 Referans Kwoze  

Niliposikia hayo nikaikaa chini na kulia, nikaomboleza kwa siku za kutosha. Nikafunga kula na kumwomba Mungu wa mbinguni,


Na kama mutu akitaka kuwazuru, moto unatoka katika vinywa vyao na kuteketeza waadui zao. Ni vile ndivyo mutu anayetaka kuwazuru anavyopaswa kuuawa.


Musikitike, mulie na kulalamika. Kucheka kwenu kugeuke kuwa kilio, na furaha yenu igeuke kuwa huzuni.


mimi nina huzuni kubwa na uchungu usiokuwa na mwisho ndani ya moyo wangu.


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Heri ningepata kibanda cha wasafiri katika jangwa, ningewaacha watu wangu na kujiendea. Wote ni wazinzi, ni kundi la watu waasi.


Mushangilie na kufurahi pamoja na Yerusalema, enyi munaoupenda! Mushangilie pamoja nao, enyi wote mulioulilia!


Ninakimbilia kwako, ee Mungu; kwa nini umenitupilia mbali? Kwa nini niende huko na huko nikiomboleza kwa kuteswa na adui yangu?


Yawe atanijalia wema wake muchana; nami nitamwimbia wimbo wa sifa usiku, nitamwomba Mungu anayenipa uzima.


Kwa hiyo yeye akaniambia: Danieli, usiogope. Mungu alisikia maombi yako tangu siku ile ya kwanza ulipoamua kujinyenyekeza mbele yake kusudi upate ufahamu. Mimi nimekuja kwa ajili ya maombi yako hayo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite