Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa kwa mara ingine, akanitia nguvu.

Gade chapit la Kopi




Danieli 10:18
16 Referans Kwoze  

Kisha, kiumbe kimoja chenye umbo la mutu, kiliigusa midomo yangu, nami nilifungua midomo yangu na kumwambia huyo aliyesimama karibu nami: Ee bwana, maono haya yameniletea maumivu makali hata nimeishiwa nguvu.


Halafu malaika toka mbinguni alimutokea kwa kumutia moyo.


Alipokuwa anazungumuza nami, mimi nikashikwa na usingizi muzito nikiwa nimelala uso mpaka chini. Lakini yeye akanishika na kunisimamisha.


Mungu atawatia nguvu kwa uwezo wake wenye utukufu, kusudi mupate kuvumilia kila kitu pasipo kuchoka. Basi kwa furaha,


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Ninaomba Mungu, kwa uwingi wa utukufu wake, awajalie nguvu mupate kuwa imara ndani ya roho zenu, kwa njia ya Roho wake.


Alipokwisha kukaa Antiokia kwa siku chache, akaondoka kule, akapita muji kwa muji toka katika inchi ya Galatia mpaka katika inchi ya Furigia, na kule akawatia wanafunzi nguvu.


Lakini mimi nimekuombea, kusudi usipungukiwe na imani. Nawe utakaponirudilia tena, uwatie wandugu zako moyo.”


Hapo, mukono ukanigusa, ukanisimamisha, na kuimarisha miguu na mikono yangu.


Angeshindana nami kwa nguvu zake zote? Hapana! Bila shaka angenisikiliza.


Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.


Daudi alijua kwamba Saulo alitaka kuyaangamiza maisha yake. Daudi akabaki katika mbuga za Zifu, kule Horeshi.


Mimi Danieli nilipoyaona maono hayo, na nilipokuwa nikijaribu kujua maana yake, kwa rafla, nikaona kiumbe kimoja chenye kufanana mwanadamu kikisimama mbele yangu.


Nilipokulilia, wewe ulinijibu; umeniongezea nguvu yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite