Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 10:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Akaniambia: Danieli, wewe unayependwa sana, simama sawa usikilize kwa uangalifu maneno nitakayosema, maana nimetumwa kwako. Alipokuwa akiniambia maneno haya, mimi nilisimama nikitetemeka.

Gade chapit la Kopi




Danieli 10:11
15 Referans Kwoze  

Lakini sasa inuka usimame wima. Nimekutokea kusudi nikuweke kuwa mutumishi wangu. Wewe utatoa ushuhuda juu yangu; utawaelezea watu mambo uliyoona leo na yale nitakayokuonyesha nyuma.


Basi walitoka kwenye kaburi na kukimbia mbio. Walikuwa wakitetemeka na kushangaa sana. Nao hawakumwambia mutu yeyote, kwa sababu waliogopa. [


Naye akaniambia: Wewe mwanadamu! Simama. Ninataka kusema nawe.


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


Petro akageuka, akaona nyuma yao mwanafunzi yule aliyependwa na Yesu. (Ni yeye aliyeegamia kifua cha Yesu wakati wa chakula na kumwuliza: “Bwana, ni nani yule atakayekutoa?”)


Na kulikuwa mumoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimupenda, na aliyekuwa akimwegamia Yesu pale kwenye chakula.


Akaniambia: Usiogope wewe unayependwa sana, uko salama. Ukuwe imara na hodari. Aliposema nami, nilipata nguvu, nikamwambia: Bwana, umekwisha kuniimarisha; sema kile ulichotaka kusema.


Sikukula chakula kizuri, sikugusa nyama wala divai, na sikujipakaa mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.


Sikiliza binti, ufikiri! Tega sikio lako: sahau sasa taifa lako na jamaa yako.


Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka pahali pake.


na kinywa chako ni kama divai tamu. Basi, divai itiririke mpaka kwa mupenzi wangu, ipite juu ya midomo yake na meno yake!


Hata kama Noa, Danieli na Yobu wangalikuwa ndani ya inchi ile, wangeyaokoa tu maisha yao wenyewe kwa ajili ya haki yao. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.–


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite