Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Danieli 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Basi, yule mulinzi akawaacha waendelee kula mboga za majani pahali pa chakula na divai walioamuriwa.

Gade chapit la Kopi




Danieli 1:16
2 Referans Kwoze  

Tafazali utujaribu, sisi watumishi wako kwa muda wa siku kumi kwa kutupatia mboga za majani na maji.


Halafu Danieli akamwendea mutumishi aliyewekwa na mukubwa yule kwa kumulinda yeye na wenzake watatu Hanania, Misaeli na Azaria, akamwambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite