Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Amosi 3:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Simba ananguruma katika pori kama hajapata nyama? Simba mukali ananguruma katika pango lake kama hajakamata kitu?

Gade chapit la Kopi




Amosi 3:4
7 Referans Kwoze  

Watanifuata mimi Yawe ninayenguruma kama simba; nitakaponguruma watanifikia toka magaribi wakitetemeka.


simba wakali wananguruma wanapokosa mawindo yao, wanakungojea wewe Mungu uwape chakula chao.


Amosi alisema hivi: Yawe ananguruma toka mulima Sayuni, anavumisha sauti yake toka Yerusalema, hata mashamba ya malisho ya wachungaji yanakauka, majani ya mulima Karmeli yananyauka.


Simba akinguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana wetu Yawe akisema, ni nani atakataa kuutangaza ujumbe wake?


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


Watu wawili wanaweza kusafiri pamoja bila kupatana kwanza?


Mutego bila chambo utamunasa ndege? Mutego unaweza kufyatuka bila kuguswa na kitu?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite