Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Amosi 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nitamwua mutawala wa Moabu, pamoja na waongozi wote wa inchi hiyo. –Ni Yawe anayesema hivyo.

Gade chapit la Kopi




Amosi 2:3
10 Referans Kwoze  

Moabu, ulitumainia matendo yako na hazina zako, lakini sasa wewe vilevile utatekwa; mungu wako Kemosi atapelekwa katika uhamisho pamoja na makuhani na watumishi wake.


Ninamwona atakayekuja, ninamwona, lakini hayuko karibu. Nyota itatokea kwa wazao wa Yakobo, atatokea mufalme kati ya Waisraeli. Kwa fimbo yake atapiga viongozi wa Wamoabu, atawaangamiza wazao wote wa Seti.


Nguvu za Moabu zimevunjika na uwezo wake umevunjika. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Yeye anawashusha wakubwa wenye nguvu, anawafanya watawala wa dunia kuwa si kitu.


Sasa, enyi wafalme, mutumie akili; musikilize onyo hili, enyi watawala wa dunia.


Anamwagia wakubwa mazarau, anawaondolea wenye uwezo nguvu yao.


Wakubwa wao watakapopondwa juu ya mawe, ndipo watatambua kwamba maneno yangu yalikuwa mazuri.


Angalisho, enyi munaogeuza sheria kuwa uchungu, na kuona haki kuwa kama takataka!


Maana mimi ninajua wingi wa makosa yenu na ukubwa wa zambi zenu; ninyi munawatesa watu wema, munapokea kituliro na kuzuia wakosefu wasipate haki katika tribinali.


Farasi wanaweza kukimbia katika mawe makubwa? Watu wanaweza kulima bahari na ngombe? Lakini ninyi mumeigeuza sheria kuwa sumu, na tunda la haki kuwa uchungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite