Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Yoane 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 kwa sababu ukweli huu unakaa ndani yetu nao utakuwa pamoja nasi hata milele.

Gade chapit la Kopi




2 Yoane 1:2
11 Referans Kwoze  

Dunia inapita pamoja na tamaa zake, lakini mutu yule anayefanya mapenzi ya Mungu anaishi milele.


Nimewaandikia ninyi watoto, kwa sababu mumemujua Baba. Ninawaandikia ninyi wababa, kwa sababu mumemujua yule aliyekuwa tangia mwanzo wa vitu vyote. Ninawaandikia ninyi vijana, kwa sababu muko na nguvu na Neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mumemushinda yule Mwovu.


Tukisema kwamba hatuna zambi, tunajidanganya sisi wenyewe, wala ukweli hauko ndani yetu.


Kwa sababu hii, nitaendelea kuwakumbusha mambo haya siku zote ingawa mumekwisha kuyafahamu na kukamilika katika ukweli muliopokea.


Ninakumbuka vilevile imani yako isiyokuwa ya udanganyifu, imani ile tate muzaa mama yako Loisi na mama yako Euniki waliyokuwa nayo. Ninajua hakika kwamba wewe vilevile uko nayo.


Habari za Kristo zikae ndani yenu kwa uwingi. Mufundishane na mushauriane kwa hekima. Mumwimbie Mungu kwa moyo wenu wote na kumushukuru kwa zaburi na nyimbo za kiroho.


Kwa maana, hatutangazi habari zetu sisi wenyewe, lakini tunatangaza kwamba Yesu Kristo ndiye Bwana, nasi tuko watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Ninafanya hayo yote kwa ajili ya Habari Njema kusudi nipate sehemu ya baraka zake.


Kama mukikaa ndani yangu na maneno yangu yanakaa ndani yenu, mutaomba chochote munachotaka, nanyi mutakipewa.


Nami nitamwomba Baba awape musaidizi mwingine kwa kukaa nanyi milele;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite