Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Wakorinto 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kwa maana kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani atakayenifurahisha tena, isipokuwa tu wale niliowahuzunisha?

Gade chapit la Kopi




2 Wakorinto 2:2
6 Referans Kwoze  

Basi, ikiwa nimewahuzunisha na barua yangu, sijuti juu yake sasa. Nilijuta wakati nilipotambua kwamba barua ile iliwahuzunisha ingawa ilikuwa ni kwa muda tu.


maana munayafahamu sasa kwa sehemu tu. Kwa Siku ile ya kurudi kwa Bwana wetu Yesu mutaweza kujivuna kwa ajili yetu kama vile tutakavyojivuna kwa ajili yenu.


Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vingine vyote vinaugua pamoja nacho. Kiungo kimoja kikiheshimiwa, viungo vingine vyote vinafurahi pamoja nacho.


Mufurahi pamoja na wenye kufurahi. Mulie pamoja na wenye kulia.


Kukiwa mutu anayepatwa na uzaifu, mimi ninajisikia muzaifu vilevile. Kukiwa mutu anayeanguka katika zambi, ninasikia uchungu.


Lakini yule kijana aliposikia maneno hayo, akajiendea akihuzunika, kwa sababu alikuwa tajiri sana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite