2 Wafalme 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Akamwambia mufalme: “Yawe anasema hivi: ‘Kwa sababu ulituma wajumbe kuomba shauri kwa Bali-Zabubu mungu wa Ekuroni sawa vile hakuna Mungu katika Israeli ambaye ungemwomba shauri, basi, hautashuka katika kitanda ambacho umepanda juu yake. Hakika utakufa.’ ” Gade chapit la |
Basi, sema nao uwaambie kwamba Bwana wao Yawe anasema: Mutu yeyote kati ya Waisraeli anayekubali sanamu za miungu zimutawale ndani ya moyo, na kuiruhusu miungu hiyo kumusukuma kutenda zambi, kisha akuje kumwomba nabii shauri, atapata jibu toka kwangu ambalo litafalia hata kwa sanamu zake nyingi za miungu.