Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Wafalme 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Akamwambia mufalme: “Yawe anasema hivi: ‘Kwa sababu ulituma wajumbe kuomba shauri kwa Bali-Zabubu mungu wa Ekuroni sawa vile hakuna Mungu katika Israeli ambaye ungemwomba shauri, basi, hautashuka katika kitanda ambacho umepanda juu yake. Hakika utakufa.’ ”

Gade chapit la Kopi




2 Wafalme 1:16
13 Referans Kwoze  

“Sitaingia ndani ya nyumba yangu, wala kulala ndani ya kitanda changu,


Hapo akaondoka na kumufuata Namani. Namani alipoangalia na kuona mutu anamufuata mbio, akashuka ndani ya gari lake, akaenda kukutana naye. Basi, akamwuliza: “Kuna usalama?”


Halafu Mikaya alisema: “Ukirudi salama basi, utajua kwamba Yawe hakusema nami.” Kisha akaendelea kusema: “Musikilize enyi watu wote!”


Wakamujibu: “Tumekutana na mutu ambaye alitutuma turudi kukuambia kwamba Yawe amesema hivi: ‘Kwa nini unatuma wajumbe kwa Bali-Zebubu, mungu wa Ekuroni? Hakuna Mungu katika inchi ya Israeli? Hautashuka katika kitanda ulichopanda juu yake. Hakika utakufa.’ ”


Basi, sema nao uwaambie kwamba Bwana wao Yawe anasema: Mutu yeyote kati ya Waisraeli anayekubali sanamu za miungu zimutawale ndani ya moyo, na kuiruhusu miungu hiyo kumusukuma kutenda zambi, kisha akuje kumwomba nabii shauri, atapata jibu toka kwangu ambalo litafalia hata kwa sanamu zake nyingi za miungu.


alimwambia Hazaeli mukubwa wa waaskari wake: “Mumupelekee yule mutu wa Mungu zawadi umwambie aombe shauri kwa Yawe kama nitapona au hapana.”


Basi Elisha akamujibu: “Umwambie kwamba atapona. Lakini Yawe amenionyesha kwamba atakufa.”


Wakati ule, Hezekia aligonjwa sana karibu kufa. Halafu nabii Isaya, mwana wa Amozi akamwendea, akamwambia: “Yawe amesema hivi: ‘Panga mambo yako sawasawa katika nyumba yako kwa sababu utakufa, hautapona.’ ”


Mutu anayekusudia kuwa mwenye haki ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite