Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 7:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini usiku uleule neno la Yawe lilimufikia Natani kusema hivi:

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 7:4
7 Referans Kwoze  

Lakini usiku uleule, neno la Yawe lilimufikia Natani kusema hivi:


Kisha Yawe akawaambia: Musikilize maneno yangu, kama kuna nabii kati yenu, mimi Yawe ninajifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto.


Hakika, Bwana wetu Yawe hafanyi kitu bila kuwafunulia watumishi wake manabii nia yake.


Natani akamwambia mufalme: “Kwenda ufanye chochote unachokifikiri ndani ya moyo wako, kwa maana Yawe yuko pamoja nawe.”


“Kwenda umwambie mutumishi wangu Daudi: Yawe anasema hivi: Si wewe utakayenijengea nyumba ya kukaa.


Basi Yawe akamutuma nabii Natani kwa Daudi. Natani alimwendea Daudi, akamwambia: “Kulikuwa wanaume wawili katika muji mumoja. Mumoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa masikini.


‘Tangu nilipowaondoa watu wangu Waisraeli katika inchi ya Misri, sikuchagua muji wowote katika makabila ya Waisraeli kusudi nijengewe nyumba nitakamoabudiwa; lakini nilimuchagua Daudi, atawale watu wangu, Waisraeli.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite