Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 7:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Natani alimwelezea Daudi kila kitu ambacho alionyeshwa katika maono hayo na Mungu.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 7:17
7 Referans Kwoze  

Natani akamwelezea Daudi mambo hayo yote kulingana na maono hayo.


Kwanza nimewatolea mafundisho haya ambayo mimi mwenyewe nilipokea: Kristo alikufa kwa sababu ya zambi zetu kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema.


Ni vile kwa sababu niliwatangazia mupango wote wa Mungu pasipo kuwaficha kitu.


Munajua kwamba sikuwaficha hata neno moja lenye kuwafalia ninyi, lakini niliwahubiri na kuwafundisha katika mikutano na katika nyumba zenu.


mufalme Daudi akamwambia nabii Natani: “Angalia, mimi ninakaa katika nyumba iliyojengwa na miti ya mierezi, lakini Sanduku la Mungu linakaa ndani ya hema.”


Ukoo wako na ufalme wako vitadumu imara siku zote. Kiti chako cha kifalme kitakuwa imara milele.”


Kisha mufalme Daudi akaingia ndani na kuikaa mbele ya Yawe; halafu akaomba: “Mimi ni nani, ee Bwana wangu Yawe, na jamaa yangu ni nini hata ukaniinua mpaka hapa ninapokuwa leo!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite