Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 7:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Lakini sitaacha kumutendea mema yangu kama vile nilivyoacha kwa Saulo, niliyemwondoa mbele yako.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 7:15
18 Referans Kwoze  

Uasi ni sawa na zambi ya kuaguza, na kiburi ni sawa na uovu wa kuabudu sanamu. Kwa sababu umeikataa amri ya Yawe, naye amekukataa kuwa mufalme.”


Nami nitamufanya kuwa muzaliwa wangu wa kwanza, mukubwa kuliko wafalme wote wa dunia.


Halafu Samweli akamwambia Saulo: “Tangu leo Yawe ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako na atamupa mutu mwingine kati ya wajirani zako anayekuwa bora kuliko wewe.


Yawe ametoa neno juu ya Yakobo nalo litamupata Israeli.


Hata yeye sitamunyanganya urizi wote, lakini nitamwachia mwana wako kabila moja, kwa ajili ya mutumishi wangu Daudi, na kwa ajili ya Yerusalema ambao nimeuchagua kuwa wangu.”


Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu. Akifanya maovu, nitamwazibu kama vile wanadamu wanavyowaazibu watoto wao kwa fimbo.


Kisha roho wa Yawe alimwacha Saulo, na pepo muchafu kutoka kwa Yawe akamusumbua.


Lakini sitaacha kumutendea mema Daudi, wala sitavunja uaminifu wangu kwake.


Ukoo wako na ufalme wako vitadumu imara siku zote. Kiti chako cha kifalme kitakuwa imara milele.”


Mutege sikio, enyi watu wangu, mukuje kwangu; munisikilize, kusudi mupate kuishi. Nami nitafanya nanyi agano la milele; nitawatendea mema niliyomwahidi Daudi.


Alivua nguo zake, akatabiri mbele ya Samweli. Alibaki uchi kwa siku moja, muchana na usiku. Kwa hiyo watu walianza kujiuliza: “Hata Saulo ni mumoja wa manabii?”


hapo nitayaazibu makosa yao; nitawapiga kwa sababu ya maovu yao.


Ni mutu gani anayeweza kuishi pasipo kufa? Nani anayeweza kujiepusha na kifo?


Samweli akamujibu: “Siwezi hata kidogo kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Yawe, naye amekukataa kuwa mufalme juu ya Israeli.”


“Lakini wazao wake wakiiacha sheria yangu, wasipoishi kufuatana na maagizo yangu,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite