Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Basi, wakaondoa Sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Abinadabu iliyokuwa juu ya mulima, wakalibeba juu ya gari jipya. Wana wa Abinadabu, Uza na Ahio, wakaongoza gari lile jipya,

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 6:3
6 Referans Kwoze  

Basi, mutayarishe gari jipya na ngombe wawili wenye kunyonyesha ambao bado hawajafungwa nira. Muwafunge kwenye gari hilo lakini vitoto vyao visiende pamoja nao, lakini vibaki katika zizi.


Kisha, watu wa Kiriati-Yearimu wakaenda na kulikamata Sanduku la Yawe, wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu, aliyeishi kwenye milima. Wakamutakasa mwana wake aliyeitwa Eleazari kusudi alitunze Sanduku hilo.


Kwa sababu hamukulibeba safari ya kwanza, Yawe, Mungu wetu, akatuazibu maana hatukulitunza kama vile alivyoagiza.”


Tulisikia wakisema: “Sanduku la Agano ni kule Efurata, tulilikuta katika mashamba ya Yearimu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite