Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini Daudi akamujibu Rekabu na ndugu yake Bana, wana wa Rimoni wa Beroti: “Kama vile Yawe anavyoishi, yeye ameyakomboa maisha yangu kutoka kila adui.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 4:9
14 Referans Kwoze  

Museme hivyo, enyi muliokombolewa na Yawe, watu ambao aliwaokoa katika taabu,


lakini anawapinga watu wanaotenda maovu, kusudi afute majina yao kutoka katika dunia.


Halafu mufalme aliapa, akisema: “Kama vile Yawe anavyoishi, yule aliyekomboa roho yangu katika taabu nyingi,


na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya babu zangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi katika dunia.”


Ananiokoa kutoka kifo, na kunijalia wema na rehema zake.


Nitanyanyua sauti kwa furaha, ninapokuimbia wewe sifa zako, na roho yangu itakusifu, maana umeniokoa.


Ubaya unawaletea waovu kifo; wanaowachukia watu wa haki wataazibiwa.


Aliwaokoa katika mikono ya waliowachukia; aliwaokoa kutoka nguvu za waadui zao.


Mwana huyo wa Saulo alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa makundi yake ya waaskari. Mumoja aliitwa Bana na mwingine Rekabu. Hao walikuwa wana wa Rimoni, mutu wa kabila la Benjamina wa muji wa Beroti (kwa maana Beroti vilevile ulikuwa mali ya kabila la Benjamina).


Usimugeuzie mutumishi wako mugongo, unijibu haraka, maana niko katika hatari.


Angalia kama vile leo maisha yako yalivyokuwa na bei kali mbele yangu, ndivyo maisha yangu yapate kuwa na bei kali mbele ya Yawe; naye aniokoe kutoka taabu zote.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite