Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Isiboseti mwana wa Saulo, aliposikia kwamba Abeneri ameuawa kule Hebroni, alivunjika moyo na watu wote wa Israeli walifazaika.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 4:1
11 Referans Kwoze  

Hapo, watu waliokuwa wanaishi pahali pale wakaanza kuwavunja moyo na kuwatisha Wayuda kusudi wasiendelee kama walivyokusudia.


Kwa hiyo mikono ya kila mutu itaregea, kila mutu atavunjika moyo.


Waisraeli wanasema: Tumesikia habari zao. Kwa hiyo mikono yetu imeregea; tumeshikwa na huzuni na uchungu, kama mwanamuke anayezaa.


Siku hiyo, Yerusalema utaambiwa: Usiogope, ee Sayuni, usilegee mikono.


Mufalme wa Babeli amesikia habari zao. Kwa hiyo, mikono yake ikaregea. Ameshikwa na huzuni na uchungu, kama mama anayezaa.


Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea.


Walifanya hivyo kwa kututisha wakifikiri: “Hawataendelea na kazi, kwa hiyo, hakuna litakalotendeka.” Nikamwomba Mungu wangu nikisema: “Lakini sasa, ee Mungu, ninakuomba unipe nguvu.”


Nitamushambulia akiwa amechoka na amevunjika moyo, nami nitamutia hofu kubwa. Watu wote wanaokuwa pamoja naye watakimbia. Nitamwua mufalme peke yake,


Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.


Abeneri mwana wa Neri, mukubwa wa waaskari wa Saulo alikuwa amemukamata Isiboseti mwana wa Saulo na kumupeleka kule Mahanaimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite