Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 3:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Mikono yako haikufungwa na miguu yako haikutiwa minyororo. Amekufa kama mutu aliyeuawa na waovu!” Na watu wote walimulilia tena.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 3:34
8 Referans Kwoze  

Kama vile wanyanganyi wanavyomuvizia mutu katika njia, ndivyo makuhani walivyojikusanya na kuvizia. Wanaua watu katika njia yenye kuelekea Sekemu, na kutenda uovu mukubwa.


Mwuaji anaamuka asubui mapema, kwa kwenda kuwaua wamasikini na wakosefu, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.


Wakaomboleza, wakalia na kufunga kula mpaka magaribi kwa ajili ya Saulo, Yonatani mwana wake, na inchi ya Waisraeli, watu wa Yawe, kwa maana wengi kati yao waliuawa katika vita.


Wafilistini wakamukamata, wakamwongoa macho, wakamupeleka Gaza, wakamufunga kwa minyororo ya shaba, na kumulazimisha kufanya kazi ya kusaga unga kule katika kifungo.


Mufalme alimwomboleza Abeneri akisema: “Imekufikia namna gani ee Abeneri kufa kama mupumbafu?


Kisha, watu wote walikwenda kumusihi Daudi akule chakula wakati ulipokuwa bado muchana. Lakini Daudi aliapa akawaambia: “Mungu aniue ikiwa nitaonja chakula au kitu chochote mpaka jua litakapotua.”


Huo ndio wimbo wa maombolezo, wanawake wa mataifa watauimba, wataimba juu ya Misri na watu wake wote. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite