Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 3:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Abeneri akazungumuza na watu wa kabila la Benjamina, kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi juu ya yale ambayo watu wote wa Israeli na kabila lote la Benjamina walipatana kutenda.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 3:19
5 Referans Kwoze  

Jamaa za Zadoki, kijana hodari katika vita, yeye pamoja na majemadari makumi mbili na wawili kutoka ukoo wa baba yake mwenyewe.


“Mumusifu Mungu katika mukutano. Mumusifu Yawe, enyi wazao wa Israeli!”


Abeneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu makumi mbili. Daudi aliwafanyia karamu.


Kutoka kabila la Benjamina, (kabila la Saulo): watu elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa jamaa ya Saulo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite