Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 3:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Abeneri alifanya mashauri na wazee wa Waisraeli, akawaambia: “Kwa muda fulani uliopita mumekuwa mukitaka Daudi akuwe mufalme wenu.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 3:17
5 Referans Kwoze  

Basi, viongozi wote wa Waisraeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samweli katika muji wa Rama,


Sasa, mulilete jambo hilo mbele ya watu kwa sababu Yawe alimwahidi Daudi hivi: ‘Kwa mukono wako wewe Daudi mutumishi wangu, nitawaokoa watu wangu Waisraeli kutoka Wafilistini na kutoka waadui zao wengine.’ ”


Mutu akimukamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Yawe akupe zawadi njema!


Haya ndiyo majina ya wakubwa wa mashujaa wa Daudi, ambao pamoja na watu wengine wote wa Israeli, walimwunga mukono kwa pamoja kusudi akuwe mufalme, sawa na neno Yawe alilotoa juu ya Waisraeli.


Ukubwa hautoki mashariki au magaribi, wala hautoki katika jangwa au kwa milima.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite