Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 24:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Naye Arauna akamwambia Daudi: “Bwana wangu mufalme, utwae chochote unachoona kinafaa na utolee sadaka. Mimi ninawatoa ngombe dume hawa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na vifaa hivi vya kupepetea na nira za ngombe kuwa kuni.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 24:22
5 Referans Kwoze  

Basi, Elisha akamwacha Elia, akarudilia ngombe wake, akawachinja ngombe hao na kuwapika akitumia miti ya nira kama kuni, akawapa watu, wakakula. Kisha akaondoka, akamufuata Elia na kuwa mutumishi wake.


Hilo gari lilielekea kwenye shamba la Yoshua, mukaaji wa Beti-Semesi. Lilipofika hapo likasimama karibu na jiwe kubwa. Watu wakalibomoa lile gari, wakatumia mbao zake kwa kuwateketeza hao ngombe ambao waliwatoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yawe.


Daudi akamwambia Ornani: “Unipe nafasi ya uwanja wako wa kupepetea ngano kusudi nimujengee Yawe mazabahu juu yake, kusudi ugonjwa mukali upate kuzuiliwa katika watu. Uniuzishie kwa bei yake kamili.”


“Hapana bwana. Tafazali unisikilize. Ninakupa shamba lote na pango linalokuwa mule; tena ninakupa mbele ya wanainchi wenzangu. Umuzike mule marehemu muke wako.”


Halafu, unijengee mimi Yawe, Mungu wako, mazabahu nzuri juu ya mwinuko ule. Kisha unitolee sadaka ya kuteketezwa ya yule ngombe dume wa pili ukitumia kuni za ile sanamu ya Ashera uliyoivunja.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite