Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 24:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 “Kwenda umwambie Daudi hivi: ‘Yawe anasema hivi: Ninakupa mambo matatu, nawe ujichagulie moja kati yao, nami nitakutendea nalo.’ ”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 24:12
13 Referans Kwoze  

Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


maana Yawe anaonya yule anayemupenda, kama vile baba anavyomwonya mwana wake mupenzi.


Hata hivyo, kwa sababu kwa tendo lako umemuzarau kabisa Yawe, mutoto wako atakufa.”


Wakati watakapokuwa inje ya inchi yao, inchi hiyo itafurahia Sabato zake hapo itakapokuwa katika hali ya ukiwa. Wakati huo wao watatubu uovu wao wa kuzarau maagizo yangu na kuchukia masharti yangu.


wakitambua kwa nini nilipingana nao na kuwapeleka katika inchi ya waadui zao, kama kweli moyo wao mugumu ukinyenyekea na kutubu uovu wao,


Daudi alipoamuka kesho yake asubui, neno la Yawe lilimufikia nabii Gadi, mwonaji wa mufalme Daudi, kusema hivi:


Halafu, Gadi akamwendea Daudi na kumwelezea, akisema: “Unapendelea njaa ya miaka saba ikuje katika inchi yako? Au wewe uwakimbie waadui zako kwa miezi mitatu wanapokufuatilia? Au kuwe siku tatu ambapo inchi yako itakuwa na ugonjwa mukali? Fikiri unipe jibu nitakalomupa yeye aliyenituma.”


Yoabu mwana wa Zeruya alianza kuwahesabu lakini hakumaliza; tena kasirani iliwapata Waisraeli kwa ajili ya tendo hili, nayo hesabu haikuingizwa katika kitabu cha habari za mufalme Daudi.


Maana mimi niko pamoja nawe, nipate kukuokoa. –Ni ujumbe wa Yawe.– Nitayaangamiza kabisa mataifa yote, ambayo niliyokusambaza kati yao; lakini sitakuangamiza wewe kabisa. Nitakuazibu kadiri unavyostahili wala sitakuachilia uende bila kukuazibu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite