Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 22:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Halafu, dunia ikatetemeka na kutikisika, misingi ya mbinguni ikayumbayumba na kuruka, kwa maana Mungu alikuwa amekasirika.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 22:8
13 Referans Kwoze  

Umeme wake unaangaza ulimwengu; dunia inauona na kutetemeka.


Mungu akitoa sauti ya kukaripa, nguzo za mbingu zinatetemeka na kushangaa.


Mawingu yalinyesha mvua nyingi, ngurumo zikavuma katika anga, mishale ya umeme ikaangaza kila upande.


Ee Yawe, ulipotoka kule Seiri, ulipoteremuka kwenye mulima Edomu, inchi ilitetemeka, mbingu zilidondosha maji, mawingu yakaiangusha mvua.


Kwa rafla kukatokea tetemeko la inchi, kwa maana malaika wa Bwana alishuka toka mbinguni, akasukuma lile jiwe lililofunga kaburi pembeni na kuikaa juu yake.


Milima inatetemeka mbele yake, vilima vinayeyuka. Dunia inatetemeka mbele yake, ulimwengu na vyote vinavyokuwa ndani yake.


Katika taabu yangu, nilimwita Yawe; nilimulilia Mungu wangu anisaidie. Toka katika hekalu lake, alisikia sauti yangu; kilio changu kilimufikia katika masikio yake.


Walipokwisha kuomba, nafasi ile walipokuwa wakikusanyika ikatikisika. Nao wote wakajazwa na Roho Mutakatifu na kuanza kutangaza Neno la Mungu kwa uhodari.


Na saa ile ile pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. Inchi ikatetemeka, mawe makubwa yakapasuka,


Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, uliposafiri kule katika jangwa,


kwa kuigusa, sherti kutumia chuma au mupini wa mukuki. Watu hao wataangamizwa kabisa kwa moto.


Kishindo cha ngurumo yako kilitokea katika zoruba, umeme wako ukaangaza ulimwengu, dunia ikatikisika na kutetemeka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite