Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 22:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

51 Mungu anamujalia mufalme wake ushindi mukubwa; anamutendea mema muchaguliwa wake, ndiye Daudi na wazao wake milele.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 22:51
18 Referans Kwoze  

wewe unayewapa wafalme ushindi, unayemwokoa mutumishi wako Daudi!


Nitamwonyesha wema wangu kwa milele, na agano langu kwake litadumu siku zote.


Zamani ulisema katika maono, ukawaambia watumishi wako waaminifu: “Nimemupa nguvu shujaa mumoja, nimemwinua huyo niliyemuchagua kati ya watu.


Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa, nitaliimbia sifa jina lako.


Kisha malaika wa saba akapiga baragumu. Halafu sauti kubwa zikasikilika katika mbingu, zikisema: “Sasa utawala juu ya dunia ni wa Bwana wetu na wa Masiya wake. Naye atatawala kwa milele na milele!”


Nao hawatakuwa tena watumwa wa wageni, lakini watanitumikia mimi Yawe, Mungu wao pamoja na mufalme wa ukoo wa Daudi ambaye nitakayewasimikia.


utaweza kumwambia Yawe: “Wewe ni kimbilio langu ninamojificha, Mungu wangu ninayemutumainia!”


“Nimeapa mara moja tu kwa utakatifu wangu; nami sitamwambia Daudi uongo.


Nitaongeza nguvu na utawala wake, kutoka bahari ya Mediteranea mpaka muto Furati.


Sayuni, mulima wa Mungu, unapendeza kwa urefu; muji wa Mufalme mukubwa ni furaha ya ulimwengu.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.


Wengi wanasema juu yangu: “Hautapata musaada wowote kwa Mungu.”


Alisema: Yawe ni: kikingio changu, kimbilio langu, mukombozi wangu,


Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomuchukia.


Ukoo wako na ufalme wako vitadumu imara siku zote. Kiti chako cha kifalme kitakuwa imara milele.”


Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi. Ni ujumbe wa Daudi mwana wa Yese, ujumbe wa mutu ambaye Mungu alimufanya akuwe mukubwa, muchaguliwa wa Mungu wa Yakobo, mwimbaji muzuri wa zaburi wa Israeli:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite