Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mawimbi ya kifo yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinishambulia,

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 22:5
12 Referans Kwoze  

akisema: Kwa sababu ya taabu yangu, nilikuomba, ee Yawe, nawe ukanisikiliza; toka chini kuzimu, nilikulilia, nawe ukasikiliza kilio changu.


Yule malaika akaniambia tena: “Yale maji uliyoona pale yule kahaba anapoikaa, ni watu wa kila taifa, kila jamaa na kila luga.


Halafu mumoja wa wale wamalaika saba walioshika vile vikombe saba akajongea na kuniambia: “Kuja nitakuonyesha namna gani yule kahaba mukubwa atakavyohukumiwa, ndio ule muji uliojengwa katikati ya mito mingi.


Watu watakapokuwa wakisema: “Kuna amani na usalama”, ndio wakati uharibifu utakapowapata kwa rafla kama vile maumivu ya kuzaa yanavyomupata mwanamuke mwenye mimba, wala hawataweza kuponyoka.


Toka magaribi mpaka mashariki, kila mutu atamwogopa Yawe na kutambua utukufu wake. Maana atakuja kama muto wenye kuporomoka mbio, muto unaosukumwa kwa upepo wa Yawe.


Ninamwita Yawe anayestahili sifa anisaidie, nami ninaokolewa kutoka waadui zangu.


“Wakati mutakapoona muji wa Yerusalema umezungukwa na waaskari, mujue kwamba uharibifu wake unakaribia.


Mafuriko juu ya mafuriko yananguruma, mawimbi na zoruba yako vinanifunika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite