12 Alijifunika giza pande zote; kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito ya mvua.
Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.
Aliinamisha anga, akashuka chini, na wingu jeusi lilikuwa chini ya miguu yake.
Siku ya taabu atanificha ndani ya nyumba yake; atanificha katika hema lake, atanilinda salama juu ya mulima.
Nani anayejua jinsi mawingu yanavyotanda, au jinsi radi inavyonguruma kwake katika anga?
Beni-Hadadi alipokea ujumbe huu wa Ahabu wakati yeye na wafalme waliomwunga mukono walipokuwa ndani ya mahema yao wakikunywa. Basi, akaweka waaskari wake tayari kwa kuushambulia muji ule.