Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 22:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Alipanda juu ya kerubi na kuruka; akaruka juu ya mabawa ya upepo.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 22:11
13 Referans Kwoze  

umejenga makao yako katika mbingu juu ya maji. Umeyafanya mawingu kuwa gari lako nawe unatembea katika anga.


Aliinamisha anga, akashuka chini, na wingu jeusi lilikuwa chini ya miguu yake.


Malaika ni nini, basi? Wao wote ni roho wanaomutumikia Mungu na wanaotumwa naye kwa ajili ya faida ya wale wanaopaswa kuokolewa.


Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli uliondoka pale juu ya makerubi na kupanda juu mpaka kwenye kizingiti cha nyumba ya Yawe. Yawe akamwita mutu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, mwenye chupa la wino,


Nikiruka mpaka mbali sana upande wa mashariki, au hata kwa miisho upande wa magaribi,


Yawe anatawala, mataifa yanatetemeka! Ameikaa juu ya makerubi, nayo dunia inatikisika!


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo. Zaburi ya Asafu.


mbona unauonea kijicho mulima Mungu aliouchagua akae juu yake? Yawe atakaa huko milele!


Kwa hiyo, walituma watumishi kule Shilo, nao wakalileta Sanduku la Agano la Yawe wa majeshi ambaye anatawala juu ya makerubi. Wale wana wawili wa Eli, Hofuni na Finehasi walikuja pamoja na lile Sanduku la Agano la Mungu.


kerubi mumoja kwa mwisho mumoja na kerubi mwingine kwa mwisho mwingine. Uwaweke makerubi wale kwenye miisho ya kiti kile, lakini wakuwe kitu kimoja na kile kiti.


Alimufukuza inje. Akaweka makerubi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni wakiwa na upanga wa moto uliogeuka huku na kule, kwa kulinda njia inayokwenda kwenye muti wa uzima.


Daudi aliondoka pamoja nao wote kuenda Bali-Yuda kwa kuleta Sanduku la Mungu linaloitwa kwa jina la Yawe wa majeshi, anayeikaa kwenye kiti chake cha kifalme juu ya makerubi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite