Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 22:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Aliinamisha anga, akashuka chini, na wingu jeusi lilikuwa chini ya miguu yake.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 22:10
12 Referans Kwoze  

Halafu Solomono akasema: “Yawe alisema kwamba atakaa katika giza nene.


Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.


Uinamishe mbingu zako, ee Yawe, ushuke chini! Uiguse milima, nayo itoe moshi!


Watu wote wakasimama mbali wakati Musa alipokaribia lile wingu zito Mungu alimokuwa.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Yawe hakasiriki upesi, lakini amejaa nguvu, Yawe hatawaachilia wenye makosa hata kidogo. Yawe anapopita, upepo mukali na zoruba vinatokea; mawingu ni mavumbi yanayonyanyuliwa na miguu yake.


umejenga makao yako katika mbingu juu ya maji. Umeyafanya mawingu kuwa gari lako nawe unatembea katika anga.


“Basi, mulikaribia na kusimama chini ya ule mulima ambao wakati huo ulikuwa unawaka moto uliofika mpaka mbinguni ukiwa umetanda giza na wingu zito.


Basi, siku ya tatu asubui, kukatokea ngurumo na umeme na wingu zito juu ya mulima. Kukasikilika vilevile sauti kubwa ya baragumu ambayo iliwatetemesha watu wote katika kambi.


Tumekuwa kama watu ambao haujawatawala hata kidogo, kama watu ambao hawakujulikana kwa jina lako. Heri ungepasua mbingu ushuke chini, milima ingetetemeka mbele yako!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite