Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 20:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nyuma, Daudi alifika katika nyumba yake kule Yerusalema. Mufalme aliwatwaa wahabara wake kumi ambao alikuwa amewaacha kwa kuangalia nyumba yake, akawaweka kwenye nyumba moja wapate kulindwa, akawatunza vizuri, lakini hakulala nao. Kwa hiyo wahabara hao wakakuwa wakifungwa mpaka siku za kufa kwao, wakaishi kama vile walikuwa wajane.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 20:3
4 Referans Kwoze  

Basi, mufalme akaondoka pamoja na jamaa yake, lakini akawaacha wahabara wake kumi wakishugulika na kazi za nyumba.


akawafungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi, katika kifungo, pahali Yosefu alipofungwa.


Kwa hiyo, watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi, wakamufuata Seba mwana wa Bikiri. Lakini watu wa Yuda walimufuata mufalme Daudi kwa uaminifu toka muto Yordani mpaka Yerusalema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite