Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 2:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Lakini watumishi wa Daudi walikuwa wamewaua watu mia tatu makumi sita kutoka kabila la Benjamina pamoja na watu wa Abeneri.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 2:31
4 Referans Kwoze  

Mufalme Ahabu wa Israeli akajibu: “Mumwambie mufalme Beni-Hadadi kwamba shujaa anajisifu kisha kupigana vita, na si mbele ya vita!”


Kulikuwa vita ya muda murefu kati ya watu waliokuwa upande wa jamaa ya Saulo, na wale waliokuwa upande wa jamaa ya Daudi. Lakini Daudi alizidi kupata nguvu zaidi na zaidi, wakati upande wa Saulo ulizidi kuwa zaifu zaidi na zaidi.


Yoabu aliporudi kutoka kumufuatilia Abeneri, aliwakusanya watu wake wote, akagundua kwamba watumishi kumi na tisa wa Daudi walikosekana, bila kuhesabu Asaeli.


Yoabu na watu wake walipeleka mwili wa Asaeli, wakauzika kwenye kaburi la baba yake, linalokuwa kule Betelehemu. Yoabu na watu wake walitembea usiku kucha, na kulipokucha wakafika katika muji wa Hebroni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite