Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 2:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Yoabu akamwambia: “Kama vile Yawe anavyoishi, ungekuwa haujasema jambo lile, hakika watu wangu wangeendelea kuwafuatilia wandugu zao mpaka kesho asubui.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 2:27
11 Referans Kwoze  

Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.


Abeneri akamwambia Yoabu: “Uwaruhusu vijana wapigane mbele yetu!” Yoabu akamujibu: “Sawa.”


Ulijisemesha ndani ya moyo: “Nitakuwa malkia milele”, nawe haukufikiri juu ya mambo yanayotokea, wala kuwaza juu ya mwisho wake.


Mambo uliyoona kwa macho yako, usiharakishe kuyapeleka katika tribinali; maana utafanya nini kwa mwisho, kama jirani yako anakupatisha haya?


Mipango mizuri inafanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita inafaa kufikiri kwanza.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,


Sasa bwana wangu, kama vile Yawe anavyoishi na kama vile unavyoishi, unaona kwamba Yawe amekuzuia kulipiza kisasi kwa kumwanga damu na hivyo upate kuwa na kosa. Uwaache waadui zako na wale wote wanaokutakia mabaya wakuwe wapumbafu kama Nabali.


Kisha Abeneri akamwita Yoabu: “Tutapigana siku zote? Hauoni kwamba mwisho utakuwa muchungu? Utaendelea kwa muda gani bila kuwashawishi watu wako kuacha kuwafuatilia wandugu zao?”


Kwa hiyo, Yoabu akapiga baragumu na watu wakaacha kuwafuatilia watu wa Israeli, wala hawakupigana zaidi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite