Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 2:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Lakini Yoabu na Abisayi walimufuatilia Abeneri. Jua lilipokuwa linatua wakafika kwenye mulima Ama, unaokuwa upande wa mashariki ya Gia, katika barabara inayokwenda katika jangwa la Gibeoni.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 2:24
3 Referans Kwoze  

Lakini Asaeli alikataa. Kwa hiyo Abeneri akamupiga mukuki ndani ya tumbo kinyumenyume, na mukuki huo ukatokea katika mugongo wa Asaeli. Asaeli akaanguka chini na kufa pale pale. Watu wote waliofika pahali Asaeli alipokufia, walisimama kimya.


Watu wa kabila la Benjamina wakajikusanya pamoja, wakakuwa nyuma ya Abeneri, hivyo wakaunda kikundi chao, nao wakasimama juu ya mulima.


Nyuma ya hayo, Daudi aliwashinda Wafilistini. Akawanyenyekeza na kunyanganya utawala wa Wafilistini.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite