Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Halafu vijana makumi mbili na ine wakatolewa: upande wa kabila la Benjamina na Isiboseti mwana wa Saulo, vijana kumi na wawili; na upande wa Daudi, vijana kumi na wawili.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 2:15
3 Referans Kwoze  

Abeneri mwana wa Neri, mukubwa wa waaskari wa Saulo alikuwa amemukamata Isiboseti mwana wa Saulo na kumupeleka kule Mahanaimu.


Abeneri akamwambia Yoabu: “Uwaruhusu vijana wapigane mbele yetu!” Yoabu akamujibu: “Sawa.”


Kila mumoja alimukamata adui yake kwenye kichwa, na kumuchoma upanga katika ubavu. Hivyo wote wawili wakaanguka chini, wamekufa. Kwa hiyo, pahali pale pakaitwa Shamba la Mapanga. Pahali pale pako kule Gibeoni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite