Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Daudi alikuwa mufalme wa kabila la Yuda kwa muda wa miaka saba na nusu, makao yake yalikuwa kule Hebroni.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 2:11
5 Referans Kwoze  

Alikuwa ametawala inchi ya Israeli kwa muda wa miaka makumi ine; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka makumi tatu na mitatu akiwa Yerusalema.


Na muda aliotawala juu ya inchi ya Israeli ulikuwa miaka makumi ine; miaka saba alitawala akiwa Hebroni na miaka makumi tatu na mitatu alitawala akiwa Yerusalema.


Wote sita, walizaliwa Hebroni ambako Daudi alitawala kwa muda wa miaka saba na nusu. Kule Yerusalema, alitawala kwa muda wa miaka makumi tatu na mitatu.


Isiboseti alikuwa na umri wa miaka makumi ine alipoanza kuitawala Israeli, naye alitawala kwa muda wa miaka miwili. Lakini kabila la Yuda lilimufuata Daudi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite