Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 19:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wewe unawapenda wale wanaokuchukia na unawachukia wale wanaokupenda. Umetuonyesha waziwazi leo kwamba majemadari na watumishi wako hawana maana kwako. Ninaona leo, kama Abusaloma angekuwa muzima, na sisi wote tungalikufa, ungeona ni sawa.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 19:7
10 Referans Kwoze  

Utukufu wa mufalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mutawala anaangamia.


Lakini Sekemu akavutiwa sana na yule binti, akamupenda hata akaanza kumubembeleza.


Nitaiharibu mizabibu yake na tini zake, anayosema ni malipo kutoka kwa wapenzi wake. Nitaifanya ikuwe pori, nao nyama wa pori wataikula.


Mungu wenu anasema hivi: Muwafariji watu wangu. Muende kuwafariji.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Halafu Yoabu aliingia katika nyumba ya mufalme, akamwambia: “Leo umetupatisha haya sisi watumishi wako wote ambao leo tumeyaokoa maisha yako, maisha ya watoto wako wanaume, na maisha ya watoto wako wanawake, maisha ya wake zako na maisha ya wahabara zako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite